Halima Yahaya ‘Davina’.
Staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma.
Alisema alishtuka baada ya kuona maelezo gazetini (Ijumaa Wikienda)
ambayo Wastara alimpongeza kama rafiki mwenye mchango na hakujua kama
anathamini na kukumbuka vitu watu walivyomfanyia ila kikubwa amemtaka
asikate tamaa kwa yote yaliyomtokea.“Asikate tama, mitihani tumeumbiwa wanadamu, tunapaswa kuishinda,” alisema Davina.

Post a Comment