0


WaDAU naomba mniambie faida ya kuvaa mlegezo,kutoboa sikio,na kujichubua rangi ya ngozi kwa mwanaume. Kiukweli hiyo hali inanikera sana ninapomuona kijana wa kiume anafanya vitu hivi lakini inawezekana ni ushamba wangu tu labda kuna faida fulani huwa wanapata .je unazijua faida zake au hasara zake au unamchukuliaje kijana wa kiume anayefanya hivyo. Mimi binafsi cjui nipe maoni kupitia facebook....

                 <<<<<<<<<<<<<<BONYEZA HAPA UTOE MAONI>>>>>>>>>>

Post a Comment

 
Top