Home
»
KITAIFA
» SAMUEL SITTA NDIYE MWENYEKITI WA KUDUMU BUNGE LA KATIBA
Samuel John Sitta.
ALIYEKUWA
Spika wa Bunge la tisa, ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki,Samuel
John Sitta ndiye Mwenyekiti wa Kidumu wa Bunge Maalum la Katiba baada ya
kushinda kwa kura 487 dhidi ya 69 za mpinzani wake, Hashim Rungwe! Mhe.
Sitta ameshinda nafasi hyo hivi punde baada ya uchaguzi uliofanyika
bungeni!
Post a Comment