Home
»
UREMBO
» MFANYA BIASHARA MAARUFU MJINI DODOMA AMWAGA MAMILION KWA WAREMBO WA REDS MISS UDOM 2014:
 |
Warembo
wakipewa Ushauri na Mh Mbunge Ambaye ni Mfanya biashara maarufu mjini
Dodoma(Hakupenda kutajwa jina),Ambapo aliweza kutoa Mchango wa
Kuwasapoti washiriki hawa Mamilion ya pesa taslimu: Warembo hao
walionekana kushikwa na butwaa baada ya Mh huyu kumwaga Manoti kwa
kuwachangia.Pia Mh huyo alitangaza kuwapatia zawadi nono ambayo ilikuwa
ni siri yao warembo hao na kuonekana wenye furaha zaidi na
kuchanganyikiwa: |
Post a Comment