Home
»
UDAKU
» HATIMAYE YULE ALIYEKUWA ANATUMIA AKAUNTI YA ISTAGRAM KUWACHAFUA MADENT WA CBE DOM APATIKANA,MADEMU WAMPANIA KUMSUTA,MWENYEWE ATOKA NDUKI
 |
|
Kupiti Akaunti ya Istagram Le_In_boy Ambayo ulikuwa unatumika kuwachafu Baadhi
ya wanafunzi wa CBE Dodoma kwa picha Chafu na Maneno ya shombo ambayo
yaliwakera wanafunzi hao na kuapa kufanya Juu chini ili wamfahamu
anayehusika kuwachafua..... Baada ya kimya cha muda mrefu wanafunzi hao
wakiwa wanatafuta ufumbuzi wa tukio hilo kwa anayewachafua..Hatimaye za
Mwizi ni Arobaini, Leo hii amefahamika Mchawi ni
nani... Mtaalum wa AT aliyekuwa anafwatilia hilo swala kwa kina Ameweza
kumfahamu mtu huyo na kudhibitisha kuwa mwanafunzi mwenzao wa chuo hicho
wa Diploma mwaka wa pili Ambaye (Jina tunalihifadhi) kutokana na
kuhofia usalama wake jinsi wanafunzi wenzake ambao wanaonekana
wanahasira kumpania sana....Kupitia Mtandao huu tuliamua kumrukia hewani
na kumweka kikaangoni na yeye kufunguka kuwa Hausiki chochote ila
inawezeka kwamba simu yake ilitumika kwasababu aliuziwa na mtu, Kwa hiyo
yeye hawezi kukataa ama kukubali.... vile vile website hii ilimurukia
hewani yule aliyemuuzia cm ambaye alikuwa ni msichana ambaye naye jina
tunalihifadhi... yeye pia alidai cm hiyo alimuuzia .......(akataja jina)
lakini akadai kwamba yeye na hausiki ila inawezekana kwa friend zake
waliokuwa wanatumia simu, Na pia aliweza kututajia Tarehe na mwezi
aliyomuuzia simu na kubaini yule aliyeuziwa cm ndio inawezekana
anahusika kwa %99 , Pia bado tunaendelea kufwatilia hili swala kwa
kina.... Ukweli utakapobainika tutaamua kukata kiu ya wengi na kumwanika
kwa Majina pamoja na Picha Zake |

Post a Comment