Kupitia account ya instagram shabiki mmoja wa mwanamuziki huyo alifunguka na kuelezea jinsi anavyochizika kwa rich mavoko “Jamani jamani jamani, mwenzenu naugua mie naumwa mie, na hii nyimbo, yaani mpaka nimewaambukiza wa ghana wa watu wamekuwa wehu, marafiki zangu wote nikipanda ndani ya gari zao itapigwa hii nyimbo mpaka tunafika. Nimewafanya mpaka wameweka mlio ya simu hii nyimbo kwa wazimu wangu. Sasa nikinuna naekewa hii nyimbo basi hasira inaisha. @richmavoko @richmavoko @richmavoko @richmavoko”
Hivi ndivyo Rich Mavoko alivyozua balaa kwa shabiki wake
Kupitia account ya instagram shabiki mmoja wa mwanamuziki huyo alifunguka na kuelezea jinsi anavyochizika kwa rich mavoko “Jamani jamani jamani, mwenzenu naugua mie naumwa mie, na hii nyimbo, yaani mpaka nimewaambukiza wa ghana wa watu wamekuwa wehu, marafiki zangu wote nikipanda ndani ya gari zao itapigwa hii nyimbo mpaka tunafika. Nimewafanya mpaka wameweka mlio ya simu hii nyimbo kwa wazimu wangu. Sasa nikinuna naekewa hii nyimbo basi hasira inaisha. @richmavoko @richmavoko @richmavoko @richmavoko”
Post a Comment