0


Mwili wa marehemu Shida Salum ukiandaliwa kwa ajili ya kuombewa.
Mwili wa marehemu ulipowasili nyumbani.
Mwili wa marehemu Shida Salum ukishushwa baada ya kuwasili nyumbani mchana wa leo.
Viongozi mbalimbali wakishiriki kuombea mwili wa marehemu.
Zitto Kabwe akiungana na waombolezaji kuombea mwili wa mama yake.
 
Credit: Jamii Forums

Post a Comment

 
Top