0
 
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba SC, Zdravko Logarusic akiwa ndani Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).
 
Loga akiwa amekaa kwenye begi kabla ya kuingia ndani ya uwanja huo.
 
Wakati Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri raia wa Zambia ametua nchini, aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo, Zdravko Logarusic atokomea Tanzania.
Kupitia mtandao wa Facebook, Loga ametupia picha mbili za juu huku akiandika “by by Tanzania, akimaanisha bye bye Tanzania.
Kocha huyo ameondoka na ndege ya Shirika la Tukish. Kama safari yake imekwenda vizuri, tayari Loga atakuwa amewasili kwao salama.

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

LAANA

 
Top