0

Screen Shot 2014-08-02 at 7.30.26 AMStori nyingine kubwa kwa staa wa muziki duniani kutumia maneno ya Kiswahili nakumbuka ilikua December 6 2013 baada ya kifo cha Mzee Nelson Mandela ambapo Nicki Minaj aliandika maneno ya Kiswahili kwenye page yake ya instagram ‘madaraka kwa watu’

Saa kadhaa zilizopita headlines zimehamia kwa P Diddy ambae ameweka hii picha hapa chini kwenye page yake ya instagram na kuweka hashtag ya #SIMBA
Screen Shot 2014-08-02 at 7.24.16 AM

Screen Shot 2014-08-02 at 7.24.30 AM

Post a Comment

 
Top