Akiongea
na gazeti moja la nchini humo waziri Lukodo amesema tayari ameliagiza
jeshi la polisi kuwakamata wahusika na kwa sasa jeshi hilo lipo mbioni
kumkamata Luzinda na rafiki yake huyo wa kiume.
Waziri huyo amesema Luzinda na rafiki yake huyo wa kiume watashitakiwa kwa kuonyesha picha za utupu, chini ya kifungu namba 13, cha Sheria ya kukabiliana na picha za ngono.
Waziri huyo amesema Luzinda na rafiki yake huyo wa kiume watashitakiwa kwa kuonyesha picha za utupu, chini ya kifungu namba 13, cha Sheria ya kukabiliana na picha za ngono.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.