Samia Suluhu Hassan.
Samia
Suluhu Hassan ndiye Makamu Mwenyekiti wa Kudumu Bunge Maalum la Katiba
baada ya kupata kura 390 sawa na 74% na kumshinda mpinzani wake Amina
Abdallah Amour aliyepata jumla ya kura 126 sawa na 24%. Kwa matokeo
hayo, Samia Hassan ataungana na Samuel Sitta aliyechaguliwa jana kuwa
Mwenyekiti wa Kudumu wa bunge hilo katika mchakato mzima wa kupata
katiba mpya
SAMIA HASSAN NDIYE MAKAMU MWENYEKITI BUNGE LA KATIBA
Samia Suluhu Hassan.
Samia
Suluhu Hassan ndiye Makamu Mwenyekiti wa Kudumu Bunge Maalum la Katiba
baada ya kupata kura 390 sawa na 74% na kumshinda mpinzani wake Amina
Abdallah Amour aliyepata jumla ya kura 126 sawa na 24%. Kwa matokeo
hayo, Samia Hassan ataungana na Samuel Sitta aliyechaguliwa jana kuwa
Mwenyekiti wa Kudumu wa bunge hilo katika mchakato mzima wa kupata
katiba mpya
Post a Comment