Msanii nyota kutoka Bongo Diamond
Platnumz ameonekana akiwa na tattoo nyingine mbili kwenye mwili wake
tofauti na zile alizochora akiwa China. Tattoo hizo kama ukiitizama hii
picha ya juu vizuri utaona kuna tattoo iliyoandikwa CHIBU pamoja na
mkononi hapo iliyoandikwa SANDRA.
Siku ya tarehe 15 mwezi huu mchora tattoo maarufu hapa Bongo alipost picha hii akiwa na Diamond na kuandika status hii nainukuu
Post a Comment