Siri ya mtungi nayo itaanza kurushwa hewani kupitia stesheni ya African Magic Swahili ya Dstv, hii itafanya Series hii ya kitanzania kuongeza, uwingi wa mashabiki kote duniani, si tu Tanzania kama ilivyokuwa hapo awali, Itaanza kurushwa kkuanzia mwanzo kabisa wa episode ya kwanza na kuendelea kuonyeshwa kila jumatatu kwenye Africa Magic Swahili Ch 158 & Channel 3 kwenye GOtv.
Sio Diamond tu, hata Series hii ya Bongo nayo yala shavu kubwa.
Siri ya mtungi nayo itaanza kurushwa hewani kupitia stesheni ya African Magic Swahili ya Dstv, hii itafanya Series hii ya kitanzania kuongeza, uwingi wa mashabiki kote duniani, si tu Tanzania kama ilivyokuwa hapo awali, Itaanza kurushwa kkuanzia mwanzo kabisa wa episode ya kwanza na kuendelea kuonyeshwa kila jumatatu kwenye Africa Magic Swahili Ch 158 & Channel 3 kwenye GOtv.
Post a Comment