Nasrah Rashid (kulia) enzi za uhai wake. Kushoto aliyekaa ni baba yake mzazi Rashid Mvungi.
Baba wa mtoto Nasrah, Rashid
Mvungi (47) akiingizwa mahabusu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi
Morogoro baada ya kupandishwa kizimbani kujibu mashitaka ya kula njama
na kufanya ukatili dhidi ya mtoto Nasra.
Nasrah Rashid enzi za uhai wake.
Watuhumiwa wengine kwenye sakata hilo mama mlezi, Mariam Said (38) wa kwanza kushoto na mume wake Mtonga Omar (30) wa kwanza kulia wakisindikizwa mahabusu chini ya ulinzi wa polisi baada ya kusomewa mashitaka.
Post a Comment