Ama kweli mapenzi yana nguvu zaidi ya BREKI DAUNI....Mara kadhaa Bwana
mdogo Diamond mara baada ya KUMPIGA CHINI Wema Wa Sepetu...kwenye
INTAVYUU mabalimbali alikuwa anasema Wema SIO, Majanga kibao ya
kumfumumania GESTI na Vijamaa....Hadi MAPEDEJEE walikuwa
wanakula...LAKINI leo Dogo Wapi...Ushauri wangu kama Mdogo wangu...Kweli
mapenzi yana nguvu lakini Dogo UMEPOTEA NJIA na najua hauwezi KUKUBALI
leo But Kesho.....
Kwa maoni yangu Mtoto Penny alikuwa ndio mke wa kuoa pia ana HADHI ya
kuwa MKE (ulishawahi kuthibitisha hili kuwa anatabia na kila kitu yupo
vizuri) kuliko huyo......... Haya ni maoni tu..na hii kwasababu wewe ni
STAA (ungebaki Tandale tusinge ku-DISKASI hapa)
CHANZO: Boss Ngassa
CHANZO: Boss Ngassa
Post a Comment