
Wapenzi na wanandoa
wengi hivi leo wanapoingia kitandani tayari kwa kuianza safari ya kupeana haki
zao za msingi hushindwa kufurahia tendo na hasa hali hii hujitokezwa kwa
wanawake kwani mwanaume huwa na haraka iliyopitiliza!
Mwanaume atamkumbatia na kumbusu mwanamke kwa muda mfupi na kabla hata hamasa ya mapenzi ya mwanamke ahaijashika hatama, atamwingilia na ndani ya dakika sekunde ama dakika zisizozidi 3, mwanamme hufika mshindo.
Katika hali ya kusikitisha baada ya mwanaume kujitosheleza hujongea pembeni bila kujali mwenza wake hajafika mwisho wa safari hali inayosababisha mwanamke kupoteza hamu ya tendo endapo tabia hiyo ya mwanaume itaendelea.
Kuna hatua 3 muhimu ambazo wapendanao wakizishika na kuzitekeleza ipasavyo basi watafanikiwa kujitosheleza kila wanapokutana na kwa hakika watakuwa miongoni mwa watu wachache wanaofurahia faragha kila wakutanapo!
Hatua ya kwanza
>>> kusameheana:
Wanandoa wengi hushindwa kupata raha ya mlo wa usiku kutokana na kushindwa kumaliza tofauti zao kabla ya giza halijaingia, mgogoro wowote baina ya wapendanao ni lazima umalizwe kabla ya kukutana kwa ajili ya mlo wa usiku. Hii husaidia kuondoa kinyongo miongoni mwao na kuwafanya mioyo yao igubikwe na upendo ambao humfanya ahamasike kunako majambo!
Hivyo basi endapo unataka kufurahia mambo fulani hakikisha unamaliza tofauti, ombaneni msamaha na samehaneni kwa dhati kwani kwa kufanya hivyo kutawasaidia muwapo faragha kufurahia kile mnachokifanya kwa kuwa mtakuwa mmemalzia tofauti zenu.
Hatua ya pili
>>>>michezo ya mahaba:
Mashamsham hunoga na kupamba moto kiasi cha kumfanya yoyote aliye kwenye uwanya wa raha kusahau kwa muda shida na matatizo yanayomuandama pale anapokutana an mtu anayeweza kumpagawisha kwa michezo ya mahaba kabla ya kuianza safari yenyewe!
Michezo hii husaidia kuamzsha hamasa na muhemko baina ya wapendanao, hivyo ili wapendanao waweze kufika mwisho wa safari pamoja na kila mmoja alidhike na udereva wa mwenzake uliowafikisha safari yao lazima watumiye muda wakutosha katika michozo yakimahaba!
Hata hivyo kila mmoja wenu anapaswa kuujua mwili wa mwenza wake. Mwili wa mwanaume ni rahisi kuuelewa kwani una sehemu moja kuu ambayo ni kama kiini cha muhemko na msisimko wa mapenzi. Sehemu hiyo ni uume. Hivyo endapo mwanamke yoyote atatumia muda wakutosha kuhangaika na sehemu hiyo basi mambo huwa safi kwa upande wa mwanaume.
Mwili wa mwanamke una shughuli pevu kubaini sehemu zenye ambazo huamsha hisia za mapenzi na ndiyo maana wanaume wengi hushindwa kuwafikisha mwisho wa safari wapenzi wao. Kiini cha hisia za mapenzi kwa mwanamke ziko kwenye kipegere G (namaanisha critoris wadu, haya ni mambo ya infenizimu tu). Kipegere G kipo nje ya uke ambapo wataalamu hudai kuwa kipo sentimita 4 kutoka ukeni.
Wanaume wengi wanaelewa
hili lakini walio wengi wamegubikwa na imani potofu kuwa, kwa kuingiza kidole
ukeni watafanikiwa kuinua hamasa ya za wenza wao kutaka kuanzisha safari jambo
ambalo si kweli, kwani wanawake wengi hujisikia vibaya kuingizwa vidole ukeni
kutokana na ukweli kwamba kucha zinabeba uchafu na bakteria wengi ambao
huwasababishia kupata fangasi!
Hivyo basi, endapo wewe
ni miongoni mwa wanaume waliokuwa wakiaminin dhana hii nataka nikujulishe kuwa,
ukitaka kumpa msisimko uliotukuka mwenza wako usiangaike kuingiza kidole chote
ukeni badala yake hakikisha unatumia kidole chako (hakikisha si kikavu) kucheza
na sehemu ya nje ya uke ambapo utakutana na kipegere G na lips za ndani. Hata
hivyo usisahamu kuhangaika na uke pia lakini hasa shughulika na sehemu za nje!
MUHIMU KUJUA: Mwanaume huahamasika kwa sekunde kadhaa lakini mwanamke humchukua
takriban dakika 20 kuweza kuamsha hisia zake na kumfanya awe tayari kwa kuianza
safari! Hivyo, mwanaume mwenye busara yaani asiye mbinafsi huakikisha anatumia
muda wakutosha kumuuanda mwenza wake kabla ya kuanza safari! Hivyo mwanaume
anapaswa kunza michezo ya mahaba kwa kuzingatia hatua tatu muhimu ambazo ni:-
Sehemu ya juu:
Wanume wengi kutokana
ana haraka zao hukimbilia sehemu ya chini ya mwili wa mwanamke yaani kunako na
kuanza ama kupapasa kwa kidole chake ama ulimi na baada ya sekunde chache
huanza kumwingilia mwanamke, lakini mwanaume mwenye kumjali ampendaye na mwenye
nia hasa yakumfikisha kwenye kilele cha raha huwa hana papara huhakikisha anamhagi
na kumpiga mabusu sehemu ya juu ya mwili wake yaani mdomoni, shingoni, kwenye
matiti, chuchu etc.
Hata hivyo, si wanawake
wote wako sawa, kuna ambao hufurahia kutomaswa maziwa yao huku wengine
wakichukizwa kutokana na sababu mbalimbali kwa mfano kama mwanaume ni mtu
wamitungi ama mvuta sigara mara nyingi kinywa chake hutoa harufu mbaya hivyo
huwa vigumu kwa mwanamke asiyependezewa na matumizi ya vitu hivyo kufurahia
kupigwa denda!
Kimsingi mwanamke kama
kweli unampenda mpenzi wako na unataka ufurahie majambozi anayokupa hakikisha
unakuwa muwazi kwa kuanza na kumuonyesha sehemu zinazokupa hamasa ya kufanya
mapenzi, si lazima ushike mkono wake na kuupeleka kunako hiyo sehemu!
Hakikisha pindi mwanaume
anapokugusa sehemu inayokusisimua unamwonyesha wazi kuwa hapo unasikia utamu
yaani kama miguno ilikuwa haitoki hakikisha inaanza toka, kama pumzi zilikuwa
zatoka kawaida basi zianze toka isivyo kawaida, nachomaanisha hapa ni kuwa
unapaswa kuonyesha umepagawa kwa raha unayopata basi kwa mwanaume aliye kamili
hatasita kuishughulikia kikamilifu sehemu hiyo!
Sehemu ya chini:
Baada ya kumtomasa kiasi
cha kutosha sehemu ya juu ya mwanamke, mwanamke huhitaji kutomaswa sehemu ya
chini na hapa ndipo ambapo unaweza kuhisi anataka kuingilia mana huanza ama kujishikasiika
sehemu za chini ama hukupeleka maeneo yake nyeti upate kumwingilia kwani huwa
amehamasika na ilim kujua kama amaehamasika basi uke wake huwa unamajimaji
ambayo hutoka kwa ajili ya kulainisha nyia ya kupita bwanamkubwa yaani uume.
Hata hivyo, ili mchezo
uwe mtamu mwanaume anapaswa kuhakikisha anatumia dakika kadhaa kuuchezea uke na
kufuatia kinena. Hapa ieleweke kuwa kuna wanawake baada ya mizuka kuwapanda
hutokwa na majimaji mengi sehemu zao za siri hivyo endapo mwanaume ukikutana na
hali hiyo usishutuke jua mzuka imempanda mpenzi wako tu na si vinginevyo!
Katika kuchezea sehemu
zake za siri mwanaume anapaswa kujua kuwa kuna wanake wanapenda chezewa kinena
pekee na wengine hupenda mwanaume atumie ulimi ama akidole chake (kisiwe
kikavu) kuingiza ukeni huku kidole kingine kikitomasa kinena hali inayomsisimua
mwanamke. Hivyo mwanamke anapaswa kuwa muwazi nini anapenda kufanyiwa!
Katika kipindi hiki
mwanamke naye anatakiwa kutoa ushirikianao wa miguno na viuno vya hapa na pale
kuashiria anapata raha na asisahau mptomasa mwanaume, lakini ikumbukwe kuwa
mwanaume ana sehemu kuu moja inayomtia wazimu ambayo ni uume wake hivyo ni
rahisi kwa mwanaume kufika mshindo hata kabla ya tendon a hapo ndipo tatizo
huibuka kwani wengine baada ya tendo moja huwa hawana uwezo wakurudia mzunguko
wa pili!
Nini mwanaume anapashwa
kufanya sasa ili kuhakikisha hamalizi mzungoko haraka? Anapaswa kuwa muwazi kwa
mwenza wake endapo mwenza wake atakuwa anamshika sehemu ambayo inamnyegesha
sana na kumfanya ajisikie kumaliza biashara basi amueleze wazi kuwa aiache
sehemu hiyo kwa muda ili uweze kudumu kunako majambozi!!
Hata siku moja msifanye
mahaba kimya kimya! Simaanishi mpige mikelele hadi iwe kero kwa majirani na nk,
elezenaneni kwa sauti za mahaba nini kila mmoja wenu anapenda mwenzi wake
afanyiwe na mwenza wake.
Hatua ya tatu:
>>>>>> Kuingiliana kimwili
Mwanaume anapaswa
kuhakikisha amasa za mapenzi za mwanamke zimeamka kabla ya kumwingilia. Wanaume
wengi kutokana na papara hujikuta wanawaingilia wenza wao hata kabla
hawajahamasika na hatimaye kumaliza tendo pasipo kuwafikisha kileleni na hili
ni tatizo la kawaida kwa wapenzi wanaokutana kwa mara ya kwanza na hasa mwanamke akiwa na zile nataka sitaki yani atasumbuana na mwanaume weeeee na
hatimaye hadi dume lifanikiwe kumwingilia kimwili inakuwa kama mbakano tu!
Hivyo basi, mwanaume
unapaswa kujua kweli mpenzi wako yuko tayari kwa tendo la ndoa na utajua kwa
kungalia kwanza mashavu ya uke wake kama yamekakamaa na kuongezeka ukubwa huku
kinembe chake kikionyesha kukaza na mwanamke akifikia hali hii basi mwanaume
huweza kuingiza uuume wake ambao umesimama kiurahisi kwani kuta za uke zitakuwa
na ute unaoteleza huku uume nao ukiwa na ute unaotoka sehemu ya mbele kabisa
hali inayowafanya wapendanao kufurahia tendo kwani hawataumizana!
Post a Comment