Tuzo ya best collabo imechukuliwa na Uhuru ft DJ
Bucks,Oskido,Professor,Yuri Da Cunha na wimbo wa Y-tjukutja....
Tuzo ya mwisho aliyokuwa anawania Diamond kwenye MTV MAMA 2014 ilikuwa
ni Best Male Artist lakini imechukuliwa na Davido
Lakini sio mbaya watanzania wamefanya kazi kubwa ya kupiga kura na kutoa support kwenye mitandao ya kijamii.
Post a Comment