Sitaki tena....Ndivyo unavyoweza kusema kutokana na kauli ya nyota wa filamu za kibongo Mirium Jolwa "Jini Kabula" ambaye amedai kuwa kwa sasa hataki kusikia mapenzi ya pesa na kama kuna mwanaume anayemtaka basi amfuate nyumbani na si kuitana baa.....
Jini Kabula ayakana Mapenzi ya Baa....Asema kama unamtaka kimapenzi mfuate nyumbani
Sitaki tena....Ndivyo unavyoweza kusema kutokana na kauli ya nyota wa filamu za kibongo Mirium Jolwa "Jini Kabula" ambaye amedai kuwa kwa sasa hataki kusikia mapenzi ya pesa na kama kuna mwanaume anayemtaka basi amfuate nyumbani na si kuitana baa.....
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.