Kama ulidhani shepu inakuja tu kwa maombi jipange, ukweli muulizeni
shilole kwa uamuzi wwake huu, hivi sasa kaamua kufikia uamuzi wa kuingia
Gym kujifua ili aweze kurudisha sexy body yake ileee, hii ni baada ya
kuanza kujiona haridhiki na hali yake ya hivi sasa kimuonekano.Watu
wengi walikuwa wameshaanza kuponda, nakusema eti shilole amejiachia hasa
pale anapoonekana akiwa kwenye show zake mbalimbali, hii sasa ameamua
kupunguza maneno ya watu na kuamua kufanyia kazi, na hivi ndivyo
anavyofanya yake.
Post a Comment