0


Neema Recruitment Agency ni wakala wa ajira na nafasi za kazi. Kwa niaba ya mteja wake, kampuni inatangaza nafasi za kazi za saloon ( SALOON WORKERS ) kwa waombaji  wenye  sifa  zifuatazo :

1. Awe wa jinsia ya kike
2. Elimu kidato cha nne na  kuendelea
3. Awe anaishi Dar Es salaam.
4. Walio na uzoefu na kazi za saluni watapewa kipaumbele.

IDADI YA NAFASI : Nafasi Ishirini( 20 )

JINSI YA KUTUMA MAOMBI : Andika maombi yako kwenda kwa Mkurugenzi Mtendaji, Neema Recruitment Agency kupitia barua pepe yetu ambayo ni : neemarecruitmentagency@gmail.com

APPLICATION INSTRUCTIONS:

MWISHO WA KUPOKEA MAOMBI NI TAREHE  31  JULAI   2014.

Post a Comment

 
Top