Watu 16 wamepoteza
maisha huku 75 wakijeruhiwa baada ya basi la AM likitoka Mwanza-Mpanda
kugongana na basi lingine la Sabena linalofanya safari zake Mbeya -
Tabora katika eneo la Mlogoro, Sikonge mkoani Tabora jana.
Endelea kutufuatilia kwa MKASA NA PICHA ZA MATUKIO YA AJALI
Endelea kutufuatilia kwa MKASA NA PICHA ZA MATUKIO YA AJALI
Post a Comment