Kanye West ambaye mwaka jana alikuwa na ugomvi mkubwa na wapiga picha (Paparazzi) na kufikia hatua ya kumshambulia Paparazzi Daniel Ramos katika uwanja wa ndege Los Angeles amefichua kuwa baba yake mzazi aliwahi kuwa paparazzi pia.
“Kuna watu wema huko nje wanaojaribu kuzilisha familia zao (kupitia upigaji picha) na pia kuna wapumbavu kama huyu jamaa unaemuwakilisha.” Kanye West alimwambia mwanasheria huyo.
Post a Comment