Jaycee Chan ambaye pia ni staa wa filamu kama baba yake alikamatwa Alhamisi iliyopita pamoja na staa mwingine wa filamu kutoka Taiwan, Kai Ko ambapo wote walipimwa na kubainika wametumia madawa ya kulevya aina ya bangi huku gramu 100 za madawa hayo zikikutwa nyumbani kwa Jaycee.
Kwa mujibu wa polisi nchini China, iwapo atakutwa na hatia, Jaycee anaweza kwenda jela miaka mitatu.
Jackie Chan amesafiri kuelekea nchini humo kuona jinsi ya kumnusuru kijana wake huyo.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.