Beyonce na mumewe Jay Z wamewasurprise wana ndoa huko Portofino, Italy baada ya kuingia kanisani na kushuhudia tukio la kufunga ndoa bila wanandoa hao kufahamu uwepo wa mastaa hao.
Lakini kabla ya kuondoka kanisani hapo, Beyonce alimfuata bibi harusi kumsalimia na hapo ndipo bibi harusi huyo alionesha kushangaa na kuonesha furaha ya hali ya juu.
Miezi michache iliyopita, Serema Williams nae alijikuta katikati ya sherehe ya ndoa akiwa ufukweni na vazi la maeneo hayo na kupiga picha kadhaa.

LAANA

 
Top