Ni hivi karibuni tu aliachana na mume wake, Nick Cannon baada ya kuishi kwa miaka sita lakini Mariah Carey hajataka kuruhusu matatizo yake binafsi yaathiri muziki wake na ndio maana yupo kwenye ziara barani Asia.
1413199097625_Image_galleryImage_Mandatory_Credit_Photo_by
Muimbaji huyo mwenye miaka 44 Jumapili hii alikuwa na show huko Chengdu katika jimbo la Sichuan, China na kuwapa si tu burudani lakini pia kuwaonesha kufuli lake nje nje.
1413199872297_wps_31_Mandatory_Credit_Photo_by
1413199097625_Image_galleryImage_Mandatory_Credit_Photo_by
1413199195946_Image_galleryImage_Mandatory_Credit_Photo_by

Add a comment

comments
 
Top