Home
»
WASANII
» Lupita Nyong’o anaweza kutua bongo kushiriki tuzo hizi…
Katika harakati za kuhakikisha Ziff zinaboresha na
kuizidisha ubora tuzo hizo kila mwaka hua kunakuwa na
mabadiliko.Mkurugenzi mkuu wa Ziff , Martin Mhando alizindua tuzo hizo
za mwaka 2014 na kauli mbiu ya mwaka huu ikiwa ni Common Destiny huku
wakijipanga kuleta mapinduzi kwa kuboresha zaidi kupita miaka iliyopita
kwani tuzo hizi ndio tuzo bora kabisa Afrika Mashariki ambazo
hufanyika huko Ngome kongwe Zanzibar.Zanzibar International film
festival(ZIFF) ikiwa ndio tuzo ya 17 wamejipanga kumleta Lupita Nyongo
na Gevieve Nanji na kua na uwezekano wa kuifanye iwe ya kipekee kwa
kuonesha kitu flani kwa wasanii wetu na pia fursa nyingi kujitokeza na
pia bila kusahau international exposure….
Post a Comment