Bibi wa mtoto Nasrah Rashid, Bi. Asha Abdallah akilia kwa uchungu baada ya kupata taarifa za msiba wa mjukuu wake huko nyumbani kwake maeneo ya Mafisa mkoani Morogoro. Kushoto ni mwanae Khadija Hamisi.
Bi.
Asha akiwa na simanzi kwa kuondokewa na mjukuu wake Nasrah aliyefariki
dunia usiku wa kuamkia leo wakati akitibiwa katika Hospitali ya Taifa ya
Muhimbili jijini Dar.
Credit: Global publishers.
Credit: Global publishers.
Post a Comment