0
WIKI moja sasa imepita lakini lile bao la kuogelea angani la straika wa Uholanzi, Robin van Persie, bado ni gumzo, ni nadra kuona mabao makali kama hilo yakifungwa, tena kwenye mechi kubwa kama dhidi ya Hispania, ambayo ni timu ngumu na bora duniani.

Alifunga bao hilo katika mechi ya kwanza ya Kundi B katika michuano ya Kombe la Dunia, na tayari van Persie ametangaza kuwa hilo ndilo bao lake bora kuliko yote hasa kwa kuwa ameifunga timu bora na ambayo ni bingwa mtetezi wa Kombe la Dunia.

Lakini ajabu ni kuwa Uholanzi pamoja na kuifunga Hispania mabao 5-1, haimo hata kwenye timu 10 zenye wachezaji wenye thamani kubwa katika michuano hiyo.

Vigezo vilivyotumika kupata timu 10 zenye thamani ya juu kwenye michuano hiyo ni mishahara wanayolipwa, muda wa mikataba yao katika klabu zinazowamiliki pamoja na bei wanazouzwa:

Wachezaji wa timu ya Uruguay.

10. Uruguay
Kiwango cha ubora Fifa: 6
Thamani ya kikosi: Pauni milioni 178.5

Wachezaji ghali zaidi:
1. Edinson Cavani (PSG)         Pauni 53m
2. Luis Suarez (Liverpool)         Pauni 46m
3. Diego Godin (A.Madrid)         Pauni 17.5m
4. Maxi Pereira (Benefica)         Pauni 8.8m
5. Martin Caceres (Juventus)     Pauni 7.9m
6. Gaston Ramirez (Southampton) Pauni 6.6m
7. Alvaro Pereira (Sao Paolo)    Pauni 5.7m
8. Alvaro Gonzalez (Lazio)         Pauni 5.3m
9. Cristian Rodriguez (A.Madrid)     Pauni 4.4m
9. Walter Gargano (Parma FC)     Pauni 4.4m
9. Abel Hernandez (Palermo)    Pauni 4.4m
10. Christian Stuani (Espanyol)     Pauni 2.6m

9. Ureno
Kiwango cha ubora Fifa: 5
Thamani ya kikosi: Pauni milioni 270

Wachezaji ghali zaidi:
1. Cristiano Ronaldo (Real Madrid)     Pauni 88m
2. Joao Moutinho (AS Monaco)         Pauni 26.5m
3. Rui Patricio (Sporting Lisbon)         Pauni 17.5m
4. Pepe (Real Madrid)             Pauni 16m
5. Nani (Manchester United)         Pauni 14m
6. Fabio Coentrao (Real Madrid)        Pauni 12.5m
7. Raul Meireles (Fenerbahce)         Pauni 8.8m
7. Bruma (Gaziantepspor)             Pauni 8.8m
8. Miguel Veloso (Dynamo Kyiv)         Pauni 7.9m
9. Eder (SC Braga)                 Pauni 7m
10. Hugo Almeida (Besiktas JK)         Pauni 6.8m


8. England
Kiwango cha ubora Fifa: 13
Thamani ya kikosi: Pauni milioni 305

Wachezaji ghali zaidi:
1. Wayne Rooney (Man United)         Pauni 39.5m
2. Jack Wilshere (Arsenal)             Pauni 29m
3. Leighton Baines (Everton)         Pauni 17.5m
3. Daniel Sturridge (Liverpool)         Pauni 17.5m
3. Kyle Walker (Tottenham)         Pauni 17.5m
4. Gary Cahill (Chelsea)             Pauni 16.5m
5. Phil Jones (Man United)             Pauni 16m
6. Joe Hart (Manchester City)         Pauni14m
7. James Milner (Manchester City)    Pauni 13m
7. Jordan Henderson (Liverpool)         Pauni 13m
8. Tom Cleverley (Man United)        Pauni 12.5m
9. Kieran Gibbs (Arsenal)             Pauni 11.5m
10. Chris Smalling (Man United)        Pauni 13m
10. Glen Johnson (Liverpool)         Pauni 10.5m


7. Ubelgiji
Kiwango cha ubora Fifa: 11
Thamani ya kikosi: Pauni milioni 310

Wachezaji ghali zaidi:
1. Eden Hazard (Chelsea)        Pauni 39.5m
2. Vincent Kompany (Man City)     Pauni 31m
3. Axel Witsel (Zenit St)         Pauni 28m
4. Thibaut Courtouis (A. Madrid)    Pauni 28m
4. Romelu Lukaku (Everton)     Pauni 22m
5. Marouane Fellaini (Man Utd)     Pauni 20m
6. Jan Vertonghen (Tottenham)     Pauni 19.5m
7. Moussa Dembele (Tottenham)    Pauni 17.5m
8. Christian Benteke (Aston Villa) Pauni 16m
9. Kevin de Bruyne (Wolfsburg)     Pauni 13m
10. Kevin Mirallas (Everton)        Pauni 10.5m
10. Simon Mignolet (Liverpool)     Pauni 10.5m

6. Ujerumani
Kiwango cha ubora Fifa: 2
Thamani ya kikosi: Pauni milioni 335

Wachezaji ghali zaidi:
1. Thomas Muller (Bayern)        Pauni 39.5m
1. Mario Gotze (Bayern)         Pauni 39.5m
2. Marco Reus (Dortmund)         Pauni 30m
3. Toni Kroos (Bayern)         Pauni 28m
4. Julian Draxler (Schalke 04)     Pauni 26.5m
5. Mats Hummels (Dortmund)     Pauni 23m
6. Jerome Boateng (Bayern)    Pauni 17.5m
6. Andre Schurrle (Chelsea)     Pauni 17.5m
7. Benedikt Howedes (Schalke)    Pauni 16m
7. Per Mertesacker (Arsenal)     Pauni 16m
8. Sven Bender (Dortmund)     Pauni 14m
9. Rene Adler (Hamburger)        Pauni 8.8m
10. Marcel Jansen (Hamburger)     Pauni 5.3m

5. Italia
Kiwango cha ubora Fifa: 7
Thamani ya kikosi: Pauni milioni 340

Wachezaji ghali zaidi:
1. Mario Balotelli (AC Milan)     Pauni 26.5m
2. Claudio Marchisio (Juventus)     Pauni 24.5m
3. Giuseppe Rossi (Fiorentina)     Pauni 22m
4. Salvatore Sirigu (PSG)         Pauni 18m
5. Leonardo Bonucci (Juventus)    Pauni 17.5m
5. Daniele de Rossi (Roma)         Pauni 17.5m
6. Alessio Cerci (Torino)          Pauni16m
7. Andrea Ranocchia (Inter)        Pauni 14.5m
8. Domenico Criscito (Zenit St)    Pauni 14m
9. Lorenzo Insigne (Napoli)         Pauni 13m
10. Pablo Osvaldo (Juventus)    Pauni 11.5m

4. Ufaransa
Kiwango cha ubora Fifa: 20
Thamani ya kikosi: Pauni milioni 350

Wachezaji ghali zaidi:
1. Franck Ribery (Bayern)          Pauni 37m
2. Paul Pogba (Juventus)          Pauni 30m
3. Raphael Varane (Real Madrid)     Pauni 21m
4. Samir Nasri (Man City)         Pauni 19.5m
5. Yohan Cabaye (PSG)        Pauni 17.5m
6. Olivier Giroud (Arsenal)         Pauni 17.5m
6. Mamadou Sakho (Liverpool)     Pauni 16.5m
7. Laurent Koscielny (Arsenal)     Pauni 16m
8. Hugo Lloris (Tottenham)         Pauni 14m
9. Mathieu Valbuena (Marseille)     Pauni 12.5m
10. Gael Clichy (Man City)         Pauni 11.5m

3. Argentina
Kiwango cha ubora Fifa: 3
Thamani ya kikosi: Pauni milioni 375.3

Wachezaji ghali zaidi:
1. Lionel Messi (Barcelona)             Pauni 105m
2. Sergio Aguero (Man City)         Pauni 39.5m
3. Gonzalo Higuain (Napoli)          Pauni 33.5
4. Angel di Maria (Real Madrid)          Pauni 26.5
5. Erik Lamela (Tottenham)              Pauni 21m
6. Ezequiel Lavezzi (PSG)              Pauni 18.5m
7. Ezequeil Garay (SL Benefica)          Pauni 17.5m
8. Pablo Zabaleta (Man City)          Pauni 16.5m
9. Ricardo Alvarez (Inter Milan)          Pauni 14.5m
10. Javier Mascherano (Barcelona)     Pauni 13m

2. Brazil
Kiwango cha ubora Fifa: 10
Thamani ya kikosi: Pauni milioni 407

Wachezaji ghali zaidi:
1. Neymar (Barcelona)     Pauni 53m
2. Hulk (Zenit St)         Pauni 39.5m
3. Thiago Silva (PSG)         Pauni 35m
4. Oscar (Chelsea)         Pauni 30m
5. Ramires (Chelsea)        Pauni 26.5m
5. Willian (Chelsea)         Pauni 26.5m
6. David Luiz (Chelsea)     Pauni 23m
7. Marcelo (Real Madrid)    Pauni 22m
7. Marquinhos (PSG)         Pauni 22m
8. Hernanes (Inter)         Pauni19.5m
9. Bernard (Shakhtar)         Pauni 17.5m
10. Dani Alves (Barcelona)     Pauni 16.5m
10. Luis Gustavo (Wolfsburg) Pauni 16.5m

1. Hispania
Kiwango cha ubora Fifa: 1
Thamani ya kikosi: Pauni milioni 436.4

Wachezaji ghali zaidi:
1. Andres Iniesta (Barcelona)     Pauni 48.5m
2. Sergio Busquets (Barcelona)     Pauni 39.5m
3. Sergio Ramos (Real Madrid)     Pauni 35m
4. Juan Mata (Man United)          Pauni 33.5m
5. Javi Martinez (Bayern)         Pauni 32m5m
6. Santi Cazorla (Arsenal)         Pauni 26.5m
7. Alvaro Negredo (Man City)     Pauni 24m
8. Pedro (Barcelona)             Pauni 2m
8. Koke (Atletico Madrid)         Pauni 22m
9. Jesus Navas (Man City)        Pauni 17.5m
10. Juanfran (Atletico Madrid)     Pauni 12.5m

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

LAANA

 
Top